TASWIRA YA HALI ILIVYOKUWA JANA MAHAKAMANI KWENYE KESI YA ZITTO KABWE NA CHADEMA..TAZAMA PICHA HAPA

Wafuasi hao wakianza kuzichapa kavu kavu nje ya Mahakama hiyo.
Baadhi ya wafuasi wa Zitto, wakiwa na mabango nje ya Mahakama hiyo leo mchana.


Mmoja wa kijana aliyekamatwa na askari baada ya kuleta fujo eneo la mahakama.

Wanausalama wakipanga mikakati ya kuimarisha ulinzi eneo la Mahaka
ma Kuu jijini Dar.





Mfuasi wa Zutto akiwa na bendera ya CHADEMA


Kamanda wa Polisi mkoa wa Ilala Dar es Salaam, SACP Marietha Minangi, wakati akiwasili Viwanja vya Mahakama Kuu.

Kiongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) akiwahutubia wananchi waliofika mahakamani hapo baada ya hukumu ya Zitto kuahirishwa mpaka kesho saa nane mchana. .

Mwanasheria wa Zitto Kabwe, Albert Msando (kushoto) akitoka mahakamani baada ya hukumu kuahirishwa.









Baadhi ya mabango waliyokuwa nayo wananchi eneo la Mahakama Kuu.

0 comments:

Post a Comment

 
Design by Jambo Tz