TAARIFA JUU YA MWANAMKE ALIYEKAMATWA NA MADAWA YA KULEVYA UWANJA WA NDEGE DARESALAAM HAPO JANA AKIPELEKA NCHINI CHINA

Mwanamke mmoja  Salma Omari Mzale, alikamatwa Airport Dar es Salaam na Madawa ya Kulevya, akielekea nchini China. Mpaka sasa ameshikiliwa na Polisi wa usalama kitengo cha madawa ya kulevya cha uwanja wa ndege. Mwanamke huyo mkazi wa Mbagala Kongowe, anaendelea kutoa kete hizo katika vyoo vya Uwanja wa Ndege. Hadi saa 1 jioni (mida ya Tanzania). Uchunguzi wa kina unaendelea.
Habari kamili itawajia hivi punde.

0 comments:

Post a Comment

 
Design by Jambo Tz