Showing posts with label aibu. Show all posts
Showing posts with label aibu. Show all posts

NABII WA KANISA LA EBENEZA ADAIWA KUBAKA NA KUMPA MIMBA MWANAFUNZI WA KIDATO CHA TATU MKOANI DODOMA



Mama Mzazi wa Mwanafunzi anaedaiwa kubakwa, Mary Mkombola akisimulia juu ya tukio la ubakaji lililompata

Mwanae na kusababisha ujauzito mbele ya waandishi wa habari Kulia ni Martha Danie (17)  anayesoma shule ya City Sekondari kidato cha tatu aliyefanyiwa kitendo hicho. 

 
 Mwanasheria Mfawidhi Mkazi wa kituo cha msaada wakisheria cha Tanzania Legal Aid Centre (TALAC), Godwin Ngongi akifafanua jambo kuhusu kitendo cha ubakaji alichofanyiwa Mwanafunzi wa kidato cha tatu Martha
 
 Nabii Elisha Muliri anayetuhumiwa kwa ubakaji

Na John Banda, Dodoma
 NABII Elisha Muliri wa kanisa la Ebeneza mjini hapa ameingia matatani baada ya kudaiwa kumbaka na kumtia mimba  mwanafunzi na kukatiza masomo yake huku kutishia kumuua.
Akisimulia tukio hilo mbele ya waandishi wa habari mwanafunzi huyo Martha Daniel [17] kidato cha tatu katika shule ya sekondari ya City ilyopo manispaa ya Dodoma alisema kabla ya kufanyiwa kitendo hicho alikuwa anaangushwa na mapepo.
Martha alisema baada ya kuhangaika kwa muda mrefu bila mafanikio walipata taarifa za ujio wa nabii huyo mjini humo na wapofika ili kupata msaada wa kuombewa mapepo hayo yalilipuka na binti akaponywa hata leo na kuahidiwa mbele ya kanisa kusaidiwa ada na Nabii huyo.
Binti huyo alisema baada ya kuponywa akaendelea kwenda kusali kanisani hapo ambapo kutokana na kila mtu anayefika na kufanyiwa maombi huacha mawasiliono kwenye vikaratasi, na Juni 8 mwaka huu majira akapigiwa simu na Nabii huyo akipewa maelekezo ya kufika nyuma ya ukumbi wa Paradise ambapo walikuwa wakifanyia ibada.
Anatanabaisha kuwa baada ya kuonana Nabii alimwambia aingie kwenye Gari akaingia akifikili kuna heri akapewa soda aina ya Fanta orange alipokunywa akapoteza fahamu na alipokuja kuzinduka alijikuta akiwa nyumba za kulala wageni makole na Nabii akiwa amemlalia kama alivyozali huku akiangalia mkanda wa Ngono. 
‘’Wakati nataka kupiga kelele alinitishia kwamba ataniua kama nitathubutu kumwambia mtu yoyote jambo hilo, akanipiga kofi na kuniambia yeye hawezi kunilipia ada bure kwa sababu mimi siyo ndugu yake lazima lazima alale na mimi mara 5 kwa hiyo bado mara 4 na kunisisitiza asisikie popote kuwa alinifanyia hivyo’’, alisema Mwanafunzi huyo
Kwa upande wake Mama mzazi wa mwanafunzi huyo Mary Mkombora alisema alimpeleka kuombewa kutokana na kusubuliwa na mapepo tangu akiwa Darasa la sita na wakakubaliana na Nabii huyo kumlipia ada kwa awamu hivyo akachukue 50,000 kila mwezi ili kukamilisha 400,000 inayotakiwa shule.
Nilimgundua yupo tofauti kuanzia mwezi wa saba nilipomuuliza alisema yeyue haelewi siku moja nikamshuhudia akitapika asubuhi ndipo nilipochapa na kumfukuza nikapigiwa simu na waliompokea kua mtoto kapewa mimba hiyo na Nabii kwanini nimemfukuza ndipo nikachoka, alipopimwa alikuwa na mimba.
Alisema Nabii huyo ambaye alikuwa Mume wa mwimbaji Marufu wa Nyimbo za Injili marehemu Anjera Chibalonza kwa sasa hajulikani alipo japo mara kadha wasaidizi wa kanisa hilo ambalo limebadilishwa jina kutoka Shakinah Pentecostal Church na kuitwa Ebeneza wamekuwa akitaka Suruhu.
 ‘’sasa hivi mimi na mtoto wangu tumekuwa tukiishi mashakani baada ya Msaidizi wake Nabii Monica  nimpe Martha akamtoe mimba kwa ataaramu anaowajua wao, siku ambayo alichukua kadi yenye namba za simu na kufuta meseji zote mwanangu alizokuwa akiandikiwa na Nabii,’’
Nabii huyo kwa sasa hajulikani alipo na hata alipotafutwa kwa simu yake ka mkono 0756 409118 ilikuwa amezimwa na msaidizi wake Nabii Monica Nyambura raia wa nchini Kenya anakotoea Elisha Muliri alisema yeye hawezi kuongelea jambo hilo kwakua yeye ni mgeni ameachiwa kanisa hilo baada ya mwenyeji wake kuwa safarini hivya asubiliwe hatachelewa.
Tukio hilo limefikishwa katika kituo cha sharia cha Tanzania Legal Centre [TALAC] na mwanasheria mfawidhi mkazi Dodoma Godwin Ngongi tayali ameshamuandikia mkuu wa kituo cha polisi kati barua ya kuwataka kumkamata mtuhumiwa huyo ili afikishwe kwenye vyombo vya sharia na pia kuepusha  mwanfunzi huyo na hatari nyingine.
Jeshi hilo limekiri kuwa na taarifa ya tukio hilo na kwamba wanaendelea na  uchunguzi

MSANII MKUBWA WA BONGO FLEVA AFUMANIWA LIVE NA MCHUMBA WA MTU MAKABURINI

MREMBO aliyetajwa kwa jina moja la Ema aliyedai kuwa ni mchumba wa jamaa aliyemtaja kwa jina la Amri au Mdudu amefumaniwa laivu akisaliti penzi na mwanaume mwingine.
Tukio hilo la aina yake lilijiri kwenye Makaburi ya Buguruni, Dar, mwishoni mwa wiki iliyopita baada ya kuwekewa mtego.
TAARIFA KWA OFM
Wakati makachero wa Oparesheni Fichua Maovu wakiwa kwenye ‘patroo’ walipokea taarifa kutoka kwa chanzo chake ambacho kiliomba wafike katika makaburi hayo ambapo kulikuwa na fumanizi.
OFM: Fumanizi la aina gani? Isije ikawa ni wanandoa tukaingia chaka.

Chanzo: Hawa bado ni wachumba tu. Jamaa alikuwa anamfuatilia mchumba’ke amemnasa na jamaa kwenye gari wakifanya mapenzi sasa kuna timbwili zito.
OFM: Una uhakika na unachokisema?
Chanzo: Kama hamtaki acheni (akakata simu).


OFM KAZINI
Kwa kuwa OFM haipuuzii habari, ilimteua ‘kamanda’ wake mmoja ambaye aliwasha bodaboda na kuwahi eneo la tukio.
Huku sekeseke likiendelea makaburini hapo, Mdudu ambaye alikuwa na jazba ya kuibiwa ‘mali’ zake alisema kuwa alitonywa na rafiki zake kwamba mchumba’ke huyo yupo katika Baa ya Kimboka, Buguruni akijirusha na jamaa huyo.

Mdudu alisema aliamua kwenda katika baa hiyo na kubana sehemu huku akishuhudia kila kitu.
“Unajua nimekuwa nikiambiwa tu kuwa Ema ananisaliti lakini nilikuwa napuuzia.
“Sasa nimeamini baada ya kumshuhudia mwenyewe akisaliti penzi letu,” alisema Mdudu.


VIKAO VYA HARUSI
Alisema kuwa Ema ni mchumba’ke na anaishi na wazazi wake Buguruni-Malapa, Dar na ameshamtolea mahari.
“Ndiyo tumeanza kupanga vikao vya harusi vifanyike katika Baa ya Wazee iliyopo Ilala-Amana (Dar),” alisema.
Alisema baada ya kuwasubiri hadi usiku wa manane, aliwaona wakiinuka na kuingia kwenye teksi ndipo na washikaji zake nao wakachukua bodaboda na kuifuata ile teksi kwa nyuma bila wahusika kushtuka.

WAKUTWA LAIVU
Alisema walishangaa kuona gari lile likipaki maeneo ya Makaburi ya Buguruni kisha dereva akatoka na kwenda kusimama mbali kidogo akivuta sigara.
“Machale yakanicheza nikawatonya wanangu kuwa tusubiri kama dakika kumi halafu tukaivamie teksi.

“Baadaye uzalendo ulinishinda ikabidi nikavamie. Ndipo tukawakuta laivu wanavua nguo wakiwa kimahaba,” alisema Mdudu.
Alisema roho ilimuuma alipomkuta mchumba’ke huyo ambaye anampenda kwa dhati akiwa katika hali ile, nusura apoteze fahamu na mara baada ya kuwavamia waliwatoa nje ndipo sekeseke likaanza.

KUMBE NI MSANII!

Wakati mtiti ukiendelea, yule mwanaume mwingine aligundulika kuwa kumbe ni msanii wa Bongo Fleva aliyejitambulisha kwa jina la Spince Seseme.

Akihojiwa  kulikoni kufumaniwa na mke wa mtu, Spince alisema hakufahamu kama Ema ni mchumba wa mtu kwani kama angefahamu asingetoka naye kimapenzi.
ANATUMIA UMAARUFU WAKE?

Jamaa huyo aliyeimba Wimbo wa Ayaya akimshirikisha Ali Kiba alidai alifahamiana na Ema siku nyingi na hawakuwahi kuvunja amri ya sita.

Kwa mujibu wa mashuhuda wa tukio hilo wanaomjua jamaa huyo, eti amekuwa akitumia umaarufu wake kupindua uhusiano wa watu na kuapa kumkomesha.
“Kama polisi wakishindwa tutamwendea kwa babu ili ajue cha mtu mali,” alisikika brazameni mmoja.

POLISI
Hata hivyo, tukio hilo lilimalizika kwa kila mmoja kukimbilia Kituo cha Polisi cha Buguruni akidai kupigwa ambapo hadi OFM inaondoka walikuwa wakichukuliwa maelezo.


MREMBO AKODI CHUMBA GESTI, AINGIZA WANAUME KWA ZAMU USIKU KUCHA

 
Jeshi la Polisi Mkoa wa Kipolisi wa Kinondoni jijini Dar kwa kushirikiana na Oparesheni    Fichua
Maovu (OFM)  wamemnasa mrembo Zuena Mohammed anayedaiwa kukodi chumba cha gesti na kuingiza wa- naume kwa zamu usiku kucha.
Tukio hilo lilijiri chumba namba 14 ndani ya Gesti ya Mori Lodge iliyopo Sinza jijini Dar ambapo mwanamke huyo alikuwa amekodi chumba hicho na kuwapanga wanaume kwa foleni kwa ajili ya kutoa huduma haramu ya ngono.

AFM Watonywa.
Awali, ‘makachero’ wa OFM walitonywa kuwepo kwa ishu hiyo na chanzo chake kilichodai kuk- erwa na tabia ya mrembo huyo ambaye amekuwa akitishia afya za wanaume wakiwemo vigogo wa serikali ambao ilidaiwa kuwa ni sehemu ya wateja wake.
Chanzo: Jamani OFM mpo ka- zini?

OFM: Tumejaa tele leta maneno.
Chanzo: Mimi naitwa (anataja jina) lakini naomba msinitaje. Kuna mrembo mmoja amekodi chumba gesti...yaani anapanga wanaume foleni anagawa dozi ya penzi.
OFM: Hatuwezi kukutaja tuna- heshimu vyanzo vyetu vya habari. Una uhakika na taarifa zako?
Chanzo: Nina uhakika asili- mia zote. Ninyi nendeni pale Mori Lodge maeneo ya Sinza, fanyeni kazi yenu mtapata mkanda kamili.

OFM kazini
Baada ya kupenyezewa ‘tipu’ hiyo, OFM iliingia kazini na ‘kuliteka’ eneo la tukio kwa uchunguzi na kubaini undani wa ufuska huo wa kutisha.
Kabla ya yote ‘memba’ wa OFM alijifanya mmoja wa wanaume waliokuwa wakihitaji huduma ya mrembo huyo hivyo kujipatia data nyingi kabla ya kubadilisha uamuzi baada ya kupata ishu kamili.

Tukio Laivu
Kilichofuata ni kwamba OFM iliwasiliana na Jeshi la Polisi Mkoa wa Kinondoni ambalo nalo baada ya kupokea taarifa hizo bila kusita lilifika eneo la tukio na kumnasa mrembo huyo akitoa hudumu kwa mwanaume ndani ya chumba hicho.
Katika hali ya sintofahamu, mazingira ndani ya chumba hicho yalionesha kuwa mrembo huyo ni mpangaji wa kudumu ambapo kulikuwa na meza ya kujiremba (dressing table) iliyosheheni mazagazaga ya vipodozi.

Ndani ya chumba hicho kulikutwa kondom zilizotumika na zisizotumika zikiwa zimezagaa sakafuni,
jambo lililothibitisha kuwepo kwa vitendo hivyo vichafu.

Wanaume Watoka Nduki
Wakati mrembo huyo akinaswa, baadhi ya wanaume waliokuwa wakisubiria huduma yake walitoka nduki huku wachache wakitiwa ko- rokoroni.
Wote    waliokamatwa    katika sekeseke hilo walipelekwa nyuma ya nondo za Mahabusi kwenye Kituo cha Polisi Kijitonyama ‘Maba- tini’ kwa ajili ya hatua zaidi za kisheria.

Aingiza Sh. 200, 000
Chanzo chetu cha habari kilidai kuwa, kutokana na jinsi mrembo huyo ‘anavyokula vichwa’ mambo yakimuendea vizuri huweza ku- kusanya hadi shilingi laki mbili (200,000) kwa siku au usiku mmoja.
Wengine Mbaroni
Mbali na mrembo huyo, wengine walionaswa wakijihusisha na bi- ashara haramu ya ngono eneo hilo ni Shakira Thabit na Christina Benard ambao nao walitiwa mbaroni pamoja na wateja wao.
OFM inalipongeza Jeshi la Polisi Mkoa wa Kinondoni na RPC wake, Camillus Wambura kwa kuitikia wito haraka wanapopata taarifa mbalimbali za uhalifu hivyo kupun- guza kasi ya uovu katika maeneo yake.

-GPL

MKE WA MTU SUMU....SHAROBARO ACHEZEA KICHAPO KIKALI BAADA YA KUKUTWA "CHOBINGO" NA MKE WA MTU


KIJANA mmoja mtanashati ‘Sharobaro’ ambaye jina lake halikuweza kupatikana mara moja juzikati alijikuta akichezea kichapo cha mbwa mwizi kisa kikidaiwa kuwa ni mke wa mtu.
Usione vyaelea: Sharobaro (katikati) akilia baada ya kuchezea kichapo kwa kukutwa na mke wa mtu.
Tukio hilo lilijiri saa saba usiku mwishoni mwa wiki iliyopita, Chalinze mkoani Pwani ambapo mapaparazi wetu walikwenda kwa ajili ya uzinduzi wa kundi jipya la sanaa liitwalo 3 Ways.
Wakati shamrashamra zikiendelea, ghafla liliibuka timbwili na katika kufuatilia ilibainika sharobaro anayeishi eneo hilo alikuwa akila kipigo kutoka kwa mwanaume mmoja akimtuhumu kuwa alimkuta akiwa amekaa chobingo kihasarahasara na mkewe.
Mke wa mtu sumu: Sharobaro hoi baada ya kipigo.
Licha ya baadhi ya wasanii kujaribu kuingilia kati ugomvi huo, jamaa huyo aliendelea kushusha kichapo hadi pale watu walipomtolea uvivu na kumzuia asije akasababisha mauaji.
“Unajifanya sharobaro halafu unazengea wake za watu, sasa wee umeipata fresh na huyo mwenzako akirudi nyumbani naye
atakiona,
” alisikika akisema mwanaume huyo huku akionekana kufura.

Kufuatia kichapo hicho, sharobaro huyo alijikuta akiangua kilio huku akilalama kuwa mwanamke huyo amemponza na kumharibia siku yake.

Kilio: Sharobaro akizidi kububujikwa na machozi baada ya kipondo kutoka kwa mwenye mali.
Wakizungumzia tukio hilo, baadhi ya mashuhuda walisema, kipigo alichopata kijana huyo ni fundisho kwa masharobaro wengine ambao wamekuwa na uhusiano wa karibu na wake za watu.
“Unajua hawa vijana hii ndiyo dawa yao, wanajisahau sana. Yaani anajua kabisa fulani ni mke wa mtu lakini anajiweka, sasa kwa kipigo hiki atakuwa fundisho,” alisema baba mmoja aliyejitambulisha kwa jina la Baba Zulfa.
Aidha, wengine walimtetea kijana huyo na kudai kuwa mwanamke huyo ndiye anayestahili kulaumiwa kwa kukubali kukaa gizani na kijana huyo wakati akijua ni mke wa mtu.


BINTI MWANACHUO KUTOKA KENYA AREKODIWA AKILIWA UTAMU NA MPENZI WAKE LIVE....CHEKI VIDEO WAKIONGEA KISWAHILI NA MABISHANO YAO MH

Huyu ndiye binti wa chuo kikuu na msomi kutoka kenya...
Arekodiwa na mpenzi wake wakati akifanya ngono nae ...Tena cha kumdhalilisha zaidi  arekodiwa akikataa kunyonya u**o huku akilalamika " JAMANI MI SITAKI KUN****A"..Hii ni aibu sana kwa kinadada ambao mpaka leo wanaendea kurekodiwa na wapenzi wao...
Video hii inatamba sana kwenye mitandao ya Watssup na mitandao ya kenya
 KUMBUKA..
Ukisex na ukikubali kuonyesha uso na kurekodiwa ...Be prepared siku moja utakuwa hadharani....
Mabinti jifunzeni...Mnaudhi sana..

Tahadhali
Video ni mbaya sana kwa watoto...Kuangalia video hapo juu ni lazima uwe na umri wa mtu mzima.

KICHAKA CHA NGONO KILICHOGUNDULIKA TEMEKE..AIBU

UCHAFU unaendelea kufichuliwa! Safari hii Oparesheni Fichua Maovu (OFM) kwa kushirikiana na Jeshi la Polisi Wilaya ya Temeke wamekifyeka kichaka cha ngono maeneo ya Mbagala-Zakhem jijini Dar, 
 Tukio hilo limetokea juzikati usiku wa manane baada ya wakazi wa kitongoji hicho kuchoshwa na tabia za madadapoa hao waliokuwa wakifanya vitendo vichafu karibu na nyumba zao na kutoa taarifa kwa OFM.
Kikosi hicho kiliwasiliana na Kamanda wa Polisi Kanda ya Temeke, Englebert Kiondo na kupewa askari wa Kituo cha Mbagala Kizuiani na kwenda kukifyekelea mbali kichaka hicho.
Kondom zikiwa zimezagaa eneo la tukio.
Kichaka hicho kilikuwa na akina dadapoa wenye umri wa kuanzia miaka 16 hadi 38 ambao walikuwa wakitoa huduma kwa wateja wao kwa shilingi 5,000 kwa raundi moja.
Walionaswa wakiwa katika difenda.
Mara baada ya polisi na timu ya OFM kufika eneo husika waliwakuta akina dadapoa wakiwa wamekaa tayari kwa ajili ya kutoa huduma hiyo.
Pia, kikosi hicho kilimkuta mteja mmoja akiwa anapewa huduma hiyo ndani ya kichaka hicho kilichotapakaa kila aina ya kondom katika kona zote.
Ndani ya kichaka hicho, kulikuwa na sehemu maalum ya kufanyia ngono ambayo ilikuwa imetandikwa boksi chafu huku sehemu ya mlango ikizibwa na gunia aina ya ‘salfeti’.
OFM ilibaini kwamba kabla ya dadapoa na mteja wake kuingia ndani ya kichaka hicho, kulikuwa na malipo ya fedha kwa  mmiliki wa kichaka hicho ambaye alifahamika kwa jina maarufu la Babu ambaye hata hivyo, alifanikiwa kukimbia baada ya kuona madadapoa hao wakikamatwa.
Pamoja na hayo, oparesheni hiyo ilimnasa kahaba mdogo kuliko wote aliyejitambulisha kwa jina moja la Sarah (16) ambaye alidai kuwa ni yatima kutoka Mkoa wa Mtwara na alijichanganya katika biashara hiyo haramu kwa ajili ya kutafuta kipato kwa kuwa hana ndugu wa kumsaidia.
Oparesheni hiyo pia ilimnasa mama mtu mzima aliyejitambulisha kwa jina moja la Joyce (38).

Pamoja na mama huyo kuhojiwa sababu ya kuingia katika biashara hiyo aligoma kuzungumzia kutokana na aibu.
Watuhumiwa wengine  pia waligoma kutoa ushirikiano kwa OFM kwa kuhofia kuvunja ndoa zao kwa kuwa ilibainika kwamba wengi wao ni wake za watu.

Madadapoa hao pamoja na mteja aliyenaswa walipelekwa katika Kituo cha Polisi cha Kizuiani na kufunguliwa jalada la kesi namba MBG/RB/11343/13 KUFANYA VITENDO VYA UMALAYA, kabla ya kupandishwa kizimbani kwa hatua zaidi za kisheria.

AIBU MUME WA MTU AANZISHIWA VARANGATI NA KAHABA SINZA .....

OKTOBA 19, 2013 ilikuwa  ya aibu kwa mmiliki wa gari aina ya Noah kufuatia kuangushiwa varangati na kahaba ambaye jina lake halikupatikana mara moja baada ya mmiliki huyo ambaye ni mume wa mtu kula naye uroda kisha kutaka kumfanyia kitu mbaya.
Tukio hilo lililojaza watu kibao, lilitokea usiku wa saa 5:19 Jumapili iliyopita ambapo kikosi cha Oparesheni Fichua Maovu ‘OFM’ kikiwa katika ‘patroo’ ya kunasa matukio ya usiku.

Ilikuwa wakati OFM wakipita eneo hilo, walikuta umati ukiwa umelizunguka gari hilo huku kahaba huyo akianika ya ‘chumbani zaidi’.

Alisema: (huku ameshika jiwe) nakwambia sikubali, huwezi kunifanyia hivi. Wewe umelala na mimi kwenye gari kule halafu unakuja hapa unanitenda hivi? Jaribu kuondoa gari uone nitakavyovunja vioo.
OFM: Kwani dada ilikuwaje?
Kahaba: (huku akilia) Huyu baba amelala na mimi kule (hakutaja jina) tena ndani ya gari lake, si angalieni muone kile kiti cha upande wa abiria kilivyolala. Tumemaliza, tumekuja wote kufika hapa akanisukumia nje, nikaangukia nje na kuumia mkono. Ndiyo nikaokota jiwe ili nivunje vioo vya gari lake.

Mume wa mtu: Sasa wewe unapiga kelele za nini? Elfu kumi yako si nimekupa? Unataka nini tena, au lengo lako kunivunjia heshima?
Kahaba: Umenipa ndiyo, nataka hela ya kwenda kujitibia huu mkono ulioniumiza, nataka matibabu tu mimi.

Kahaba huyo alionesha sehemu ya mkono inayovuja damu. Aliumia baada ya kuanguka kwa kusukumwa na mwanaume huyo.
Mwanaume huyo alitaka kuondoka kwa kuwasha gari, lakini OFM wakamzuia wakimtaka asubiri polisi kwa vile msichana huyo aliumia kiganja cha mkono wa kushoto.

Mume wa mtu: (huku akimnong’oneza sikioni OFM) jamani sikieni, tumalizane kiume. Unajua mimi nina mke na watoto, sasa kusubiri polisi hamuoni kama nitaumbuka mwenzenu?
OFM: Hamna, haatungumzii biashara yenu mliioifanya ndani ya gari, hapa tunasimamua majeraha ya mkono uliyomsababishia.
Mashuhuda mbalimbali nao waliunga mkono OFM kwamba, mwanaume huyo asiondoke mpaka polisi wafike kushughulikia tatizo lao.
Ndipo mwanaume huyo bila kujua anaoongea nao ni OFM, alisema:

“Sawa, tusubiri polisi lakini no media (akimaanisha amekubali kusubiri polisi lakini kusiwepo wanahabari).
OFM: Ndiyo, no media, lakini polisi wanakuja sasa hivi.
Ndani ya dakika saba, mwanaume huyo alishangaa akipigwa picha na paparazi mmoja wa OFM aliyeliwahi tukio akitokea Sinza-Makaburini, Dar alikokuwa akifanya kazi nyingine za OFM.

Alipoona mwanga wa kamera ukimmulika mara kadhaa, mwanaume huyo aliingia ndani ya gari na kuondoka kwa kasi huku wananchi wakimzomea.
Cha ajabu, kahaba huyo naye alipoona mwanga wa kamera alianza kuondoka huku akisema haogopi kupigwa picha.


 
Design by Jambo Tz