USHAWAHI KUMUONA MTOTO WA CHRISTIAN RONALDO??, MTAZAME HAPA ANAVYOTUPIA PAMBA KAMA BABA YAKE..!!

ddd
 Mchezaji Cristiano Ronaldo ametoka na mwanae wa kiume mwenye umri wa miaka mitatu “Cristiano Junior” wakizindua museum huko Madeira Portugal Jumapili iliyopita.
Mtoto huyo sio kawaida  kuonekana mara nyingi hasa sehemu kama hii ambayo inavuta camera nyingi za media tofauti.
Musuem hiyo ilizinduliwa na Ronaldo akisaidiwa na mwanae na itakua na masanamu,tuzo,makombe na jezi zake kwenye maisha yake ya soka. ron2
article-0-1A1FF1B500000578-234_634x409
article-0-1A24E3B700000578-455_634x486
article-2526363-1A20036000000578-481_634x999
ron

0 comments:

Post a Comment

 
Design by Jambo Tz