MFAHAMU DESIGNER MTANZANIA ALIYE MVALISHA BEYONCE KWENYE MOJA YA SHOWS ZAKE..

Anajulikana kwa jina la Christina Mhando ni designer makazi yake yaliyopo jijini london,ame-graduate Kent University with an honours degree, mwaka 2002. Baada ya masomo yake ,Mhando alipata experience yakufanya kazi na designers wakubwa wa nguo za kike ulaya.Na ujuzi huo aliopata,Mzaliwa huyo wa Tanzania aliweza kufungua Lebel yake mpya mwaka 2007 iitwayo CHICHI  jina lililokuwa aka yake toka utotoni. brand inayotengeneza nguo kwa kuchanganya vionyo mbalimbali vya ubunifu wenye asili ya mahali alipotokea designer huyo kwa  kama “Khanga”kitambaa kinachotumika na wanaweke wengi east africa kwa kujifunika.
Collection yake ya kwanza kutoka kampuni ya Chichika ilifanikiwa kuuzwa sana huko ulaya nakufanya aweze kuuza na kupata order mbali mbali za nguo,kupata interview mbalimbali na media kubwa sana ikiwemo Vogue huko italy,kitu kilichompa moyo kuendelea fufanya vizuri sana na kufanya kampuni yake hiyo izidi kukua.
chichiass13-8_crop
moja ya nguo aliyoi-design CHICHI
bey_in_chi
Beyonce akiwa kwenye Show ya Mrs Carter Tour akiwa amevalia vazi la Chichi.
Hivi karibuni alikuwa-featured kwenye Vogue Italia Talents in 2013, Jambo lililovutia watu ni ubunifu wake wa kutumia colour and print za East Africa kitu kinachofanya label ya Chichia iwe na nguo za kipekee kufanya kuvutiwa hata na celebrity mbalimbali,Akiwemo msanii maarufu Beyonce ambaye naye pia ni mvaaji wa nguo alizo design, Chichia is fastly becoming recognised as an international African brand ambayo ina- transform traditional East African textiles into stylish, contemporary and considered fashionable kwa ujumla.
chiara_11
chichia
Baadhi ya mavazi ya Christine Mhando

0 comments:

Post a Comment

 
Design by Jambo Tz