HIVI NDIVYO WEZI WALIVYOLIFANYA GARI LA DJ FETTY ASUBUHI YA LEO

Janga la kwanza 2014, nje ya home saa 12 asubuhi, makaka wezi wanne na gari lao wamekuja, wamevunja kioo na wakaanza kufungua side mirror, bahati mjumbe katoka, akawauliza nyie vipiii, ndo wakatoka nduki wakaingia kwenye gari lao

walililokuwa wamelipaki karibu na gari langu nankuseoa kwa speed 120, hawajafanikiwa kuondoka na chochote...hawakukamatwa ila wangekamaaaaatwa.....hahahahahaa, hivi ndo nimeianza asubuhi ya leo. Shout out kwa mjumbe wangu bila ya yeye duuuh nahisi ningelikuta gofu!!!

0 comments:

Post a Comment

 
Design by Jambo Tz