‘My Number One’ alishirikishwa na Nay wa Mitego kwenye ‘Muziki Gani’ na kushuhudia mafanikio makubwa kwa Nay ambayo ni pamoja na kuongeza mashabiki zaidi na kupata show nyingi zilizomfanya kuwa miongoni mwa wasanii walioingiza mkwanja mwingi mwaka huu.
Sasa ni zamu ya Godzilla kupata neema za Diamond Platnumz, kipenzi cha wengi. Wakali haowatasikika kwenye ngoma ya pamoja iliyofanyika MJ Records na ambayo itatoka mwaka 2014.
0 comments:
Post a Comment