MTOTO JOSHUA ISAAC AKUTWA AMEFARIKI NDANI YA SHIMO LA CHOO CHA JIRANI MKOANI MBEYA


Mwili wa Marehemu Joshua Isaac, 4,  mara baada ya kutolewa kwenye shimo la choo cha jirani alikutumbukia  na kufikwa umati. Habari zinasema kwamba juzi marehemu alikuwa anacheza na wenzake kisha akatoweka. 
 
Wadau mbali mbali wakishuhudia jana hilo
Picha kamili na Habari Kesho.. endelea kufuatilia

0 comments:

Post a Comment

 
Design by Jambo Tz